Daktari Esperance Kuzungu, msimamizi wa muungano wa wasichana bikira mjini Beni

Mwalikwa wetu ni Espérance Kizungu  daktari na anasimamia wasichana bikira katika shirika  liitwao  "Muungano wa wasichana bikira mjini  Beni". Lengo ni kuwahimiza  kulinda hali yao ya ubikira hadi kuolewa, haswa kwa nia ya kuzuia mimba za utotoni, ambazo zinaweza kuharibu maisha yao ya baadaye.  Daktari Espérance Kizungu anazungumza  na Sadiki Abubakar./sites/default/files/2023-06/invite_swahili_vendredi_matin.mp3