Journal Swahili de mardi soir, 070426

Habari za mangaribi, siku ya pili 070426

  • Juma iliyopita, waasi wa LRA , waliingia tena katika kijiji cha Bale, kilichoko katika kundi la Ebale l, ufalme wa Sasa.
  • Ingawa  kuli gunduliwa  nyenzo za mionzi, ama radioactifs, zilizo hatarisha maïsha Ya Watu , katika kampuni ya KCC huko Kolwezi, bado,  hakuna hatua zilizo chukuliwa, ili  kulinda tovuti na kulinda watu , walio wazi kwa mionzi
  • Tangu Aprili 3, suala la ukarabati wa Uwanja wa Ndege wa Mavivi ulioko Beni, jimbo la Kivu Kaskazini, limefikishwa mbele ya Bunge.
  • /sites/default/files/2026-04/07042026-p-s-journalswahili-mardisoir-web.mp3