Habari za mangaribi siku ya kwanza 232326
- Mjini Kinshasa, maduka kazaaa yanayomilikiwa na wafanyabiashara wa Indo-Pakistani , yali baki Ya kufungwa Siku ya kwanza hii , kwani wafanyikazi wana shutumu kuto heshimiwa kwa kima cha chini cha mshahara , SMIG kwa kifupi , kulingana na Sheria ya Congo.
- Jimboni Ituri, wanajeshi Wa FARDC waligundua akiba ya silaha na risasi Siku ya mungu iliyopita katika kijiji cha Jingo, eneo la Djugu.
- Jimboni Lomami, Baada ya mvua kubwa iliyonyesha , na upepo mkali ulioukumba mji wa Mwene Ditu, radi ili muua mtu mmoja, vitu vyengi vime haribiwa.
- /sites/default/files/2026-03/23032026-p-f-journal_swahili-lundisoir-web.mp3







