Jeanne Kahindo: Uchumi ya inchi inafatana na amani

 

Huko Goma, waigizaji kutoka sekta kadhaa wanahisi matokeo ya vita katika tarafa za Rutshuru na Masisi kila siku. Kwa mfano, wauzaji wa maduka makubwa wana shida leo kwa sababu wateja wao wakuu walikuwa wanatoka ndani ya mkoa. Huku barabara zote zikiwa zimefungwa, na wateja wao wakijikuta katika kambi za wakimbizi karibu na Goma, wanatatizika kufanya mauzo ya franga elfu makumi mbili kwa siku. Bi. Jeanne Kahindo ni muuzaji wa mavazi katika kituo cha Simba huko Ndosho. Anaeleza hali anayopitiya katika mahojiano haya na Rosalie Zawadi.

/sites/default/files/2024-02/16022-p-s-invitegomajeannekahindo-00-web.mp3