Jean Sumbu : Waongozi wanatafuta jinsi ya kurudisha amani katika jimbo

Mgeni wetu ni Profesa Jean Sumbu ambaye alifanya uchunguzi kuhusu mfumo wa uendeshaji wa kamati za usalama za mitaa za utawala bora katika tarafa za Djugu, Irumu, na Mahagi jimboni Ituri. Anatueleza kuhusu matokeo ya uchunguzi huu pamoja na changamoto zinazopaswa kutatuliwa kwa ajili ya kurejesha mamlaka ya Serikali katika maeneo hayo yaliyoathiriwa na migogoro ya kivita. Ilikuwa wakati wa kikao kilichoandaliwa na Ukaguzi Mkuu wa Wilaya kwa msaada wa sehemu ya Masuala ya Kiraia ya MONUSCO. Jean Sumbu anazungumza na Ezechiel MUZALIA.

/sites/default/files/2024-02/010324-p-s-invitebuniajeansumbu-00-web.mp3