Gad Malik, yeye ni meneja mkuu wa LONFORD, ni kampuni changa ambayo inafanya kazi katika mfumo wa kidijitali. Inafanya kazi katika jiji la Beni jimboni Kivu kaskazini tangu mwezi Oktoba iliyopita. Lengo la kampuni hii mpya ni kuchangia uvumbuzi na maendeleo ya jiji la Beni. Gad Malik anaeleza katika mahojiano haya na Guilaine Kasasya. /sites/default/files/2022-11/231122-p-s-invitegadmaliklonfordbeni-00_web_.mp3
Gad Malik, meneja mkuu wa LONFORD,
Dans la même catégorie
Daktari Stanislas Kakomba : Wakazi wa Kowe na Tubila wanaishi katika hali mbaya kutokana na mafuriko
25/04/2024 - 18:49
L'invité swahili, Émissions /