Articles de la catégorie « Journal swahili »

09/06/2026 - 11:37
Hospitali kuu ya serkali mjini Bunia yapewa msaada wa vifaa vya kujikinga kwa upekee dhidi ya maambukizi ya Ebola.
/
08/06/2026 - 12:46
Watu watano walio zaniwa kuwa na ugonjwa wa ebola katika gereza kuu la Bunia, baada ya vipimo walionekana kuwa hawana ugonjwa huo. Ila, hatua za kuweza kujikinga zina endelea kuchukuliwa.
/
05/06/2026 - 05:27
Waziri wa elimu ya kitaifa, Raisa malu, alizindua rasmi siku ya ine mjini Kinshasa Mtihani wa Taifa wa Kumaliza Elimu ya Msingi (ENAFEP).
/
04/06/2026 - 07:58
Siku ya tatu mjini Kinshasa, hakukua na msongamano wa magari kwenye barabara kuu kadhaa kama kawaida mjini humo.
/
03/06/2026 - 10:08
Wafanyakazi wanne wa shirika la msalaba Mwekundu walijeruhiwa vibaya siku ya kwanza mjini Bunia.
/
02/06/2026 - 15:21
Kutokana na Ebola huko Ituri, Serikali ya Kongo na Shirika la Afya Duniani wamehakikisha juhudi zao ajili ya kulinda afya ya watu.
/
16/04/2026 - 16:43
Habari za asubuhi, siku ya tano 170426
/
16/04/2026 - 16:41
Habarib za mangaribi, siku ya ine 160426
/
15/04/2026 - 17:14
Habari za asubuhi, siku ya ine 160426
/
15/04/2026 - 17:11
Habari za mangaribi, siku ya tatu 150426
/