Katika jimbo la Ituri, wagonjwa wa Ebola wanaanguka na kufariki barabarani katika mji wa Bunia.
Articles de la catégorie « Journal swahili »
15/06/2026 - 11:22
Shirika za kutetea haki za binadamu zinaomba uchunguzi huru kuweza kufanyika kuhusu maandamano ya upinzani ya siku ya tano mjini Kinshasa, huku yakikosoa pia matumizi ya nguvu dhidi ya waandamanaji
12/06/2026 - 06:40
Zaidi ya milioni moia ya wanafunzi wa shule la mwisho ya msingi wameanza tayari hii alhamisi mitihani yao ya kiserkali kote inchini DRC na hasa kunako inchi jirani ambako macenta zingine zili chimi
11/06/2026 - 08:20
Shirika la kutetea haki za binaadam yatowa adharani ripoti kuusu ukeukuaji wa haki za binaadam zilizo endeshwa na jeshi ya inchi ya Rwanda na waasi wa M23, ususan, kuorodheshwa pasipo kutaka, kushi
10/06/2026 - 10:06
Umoja wa bara la Afrika ulikusanya huko Lomé jumapili na jumatatu, mashirika za kitaifa kwa kuchambuwa kinacho endelea kuhusu usalama pande mwa mashariki mwa inchi ya DRC na katika maziwa makuu.
09/06/2026 - 11:37
Hospitali kuu ya serkali mjini Bunia yapewa msaada wa vifaa vya kujikinga kwa upekee dhidi ya maambukizi ya Ebola.
08/06/2026 - 12:46
Watu watano walio zaniwa kuwa na ugonjwa wa ebola katika gereza kuu la Bunia, baada ya vipimo walionekana kuwa hawana ugonjwa huo. Ila, hatua za kuweza kujikinga zina endelea kuchukuliwa.
05/06/2026 - 05:27
Waziri wa elimu ya kitaifa, Raisa malu, alizindua rasmi siku ya ine mjini Kinshasa Mtihani wa Taifa wa Kumaliza Elimu ya Msingi (ENAFEP).
04/06/2026 - 07:58
Siku ya tatu mjini Kinshasa, hakukua na msongamano wa magari kwenye barabara kuu kadhaa kama kawaida mjini humo.
03/06/2026 - 10:08
Wafanyakazi wanne wa shirika la msalaba Mwekundu walijeruhiwa vibaya siku ya kwanza mjini Bunia.



