Articles de la catégorie « Journal swahili »

08/07/2026 - 10:24
Kwilu: Madaktari wa hospitali za serkali wameanza mgomo. Kananga: Kulifanyika siku ya pili hii siku kuu ya wahanga wa vita vya Kamuina Nsapu.
/
08/07/2026 - 10:19
Jimboni Kivu Kaskazini, wanainchi wanakimbia maeneo ya kusini mwa mtaa wa Lubero Kutakana na kujipanga huko kwa wapiganaji wa AFC / M23.
/
08/07/2026 - 10:08
Usafiri wa wateja kati ya mji wa Bunia, Mungwalu na Aru umeweza kusimamishwa kwa zaidi ya wiki moja ili kuweza kupiganisha ugonjwa wa Ebola.
/
03/07/2026 - 17:47
Rais wa RDC, Félix Tshisekedi, na mwenzake wa Afrika ya Kusini, Cyril Ramaphosa, wamehimiza mshikamano wa Waafrika na kuheshimu haki za raia wa kigeni. 
/
03/07/2026 - 09:32
Vuguvugu la waasi la AFC/M23, hali pashwi chukua tena kama kundi la wenye kujihami silaha pekee, yadokeza ripoti mpya ya Wataalamu wa Umoja wa Mataifa kuhusu DRC.
/
03/07/2026 - 09:24
Jamhuri ya kidemocratia ya Congo yachukua wadhifa wa urais wa baraza la usalama la umoja wa matafia, tokea iyi jumatano, julai 1.
/
30/06/2026 - 07:33
 
/
29/06/2026 - 08:19
New York, Mwakilishi wa Umoja wa Mataifa inchini DRC amezungumzia  katika Baraza la Usalama kuhusu hali ya mauwaji yanayoendelea Kivu Kaskazini na Ituri wakati ambako haki za binadamu zinakuwa ziki
/
26/06/2026 - 07:38
La RDC, le Rwanda, les États-Unis, le Qatar, le Togo et la Commission de l’Union africaine se sont réunis ce jeudi à Londres.
/
25/06/2026 - 07:55
Les Léopards de la RDC n'ont pas réussi à rugir face à la Colombie et se sont inclinés 1- 0. Suivez la déception des supporters congolais.
/