Articles de la catégorie « Journal swahili »

19/06/2026 - 09:23
Baada ya nusu karne, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yarejea katika hatua ya kimataifa kwa sare ya 1-1 dhidi ya Ureno Jumatano, katika mechi ya Kombe la Dunia la FIFA 2026.
/
18/06/2026 - 07:23
Siku moja pekee yaki pita bila kuchukua hatua dhidi ya kuenea kwa virusi vya Ebola inchini Congo na Uganda ni nyingi sana.
/
17/06/2026 - 09:19
Timu ya mpira ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo leo inapambana na Ureno katika mechi ya kihistoria ya Kombe la Dunia 2026.
/
16/06/2026 - 07:20
Katika jimbo la Ituri, wagonjwa wa Ebola wanaanguka na kufariki barabarani katika mji wa Bunia.
/
15/06/2026 - 11:22
Shirika za kutetea haki za binadamu zinaomba uchunguzi huru kuweza kufanyika kuhusu maandamano ya upinzani ya siku ya tano mjini Kinshasa, huku yakikosoa pia matumizi ya nguvu dhidi ya waandamanaji
/
12/06/2026 - 06:40
Zaidi ya milioni moia ya wanafunzi wa shule la mwisho ya msingi wameanza tayari hii alhamisi mitihani yao ya kiserkali kote inchini DRC na hasa kunako inchi jirani ambako macenta zingine zili chimi
/
11/06/2026 - 08:20
Shirika la kutetea haki za binaadam yatowa adharani ripoti kuusu ukeukuaji wa haki za binaadam zilizo endeshwa na jeshi ya inchi ya Rwanda na waasi wa M23, ususan, kuorodheshwa pasipo kutaka, kushi
/
10/06/2026 - 10:06
Umoja wa bara la Afrika ulikusanya huko Lomé jumapili na jumatatu, mashirika za kitaifa kwa kuchambuwa kinacho endelea kuhusu usalama pande mwa mashariki mwa inchi ya DRC na katika maziwa makuu.
/
09/06/2026 - 11:37
Hospitali kuu ya serkali mjini Bunia yapewa msaada wa vifaa vya kujikinga kwa upekee dhidi ya maambukizi ya Ebola.
/
08/06/2026 - 12:46
Watu watano walio zaniwa kuwa na ugonjwa wa ebola katika gereza kuu la Bunia, baada ya vipimo walionekana kuwa hawana ugonjwa huo. Ila, hatua za kuweza kujikinga zina endelea kuchukuliwa.
/